Monday 27 April 2015

Mitindo Ya Kusuka Nywele Kwa Watoto:

Habari wapendwa wangu, leo katika urembo ni nywele napenda kuzungumzia juu ya mitindo ya kusuka nywele kwa watoto na kwakua mitindo hii ni salama kwa afya basi inaweza kutumika kwa watoto pia. Shule nyingi za Tanzania zinataka watoto wawe na nywele ndogo au wasuke mitindo rahisi.

Mitindo hii inaweza kuwafaa watoto wako:






Chagua Mtindo Utakao Kufaa

Kama ulivyo ona kuna mitindo mingi ya kusuka nywele kwa watoto,ambapo mingine ni rahisi na inachukua muda mfupi wakati mingine ni migumu inahitaji muda mrefu na niya gharama kubwa.

Kwahiyo basi ukiwa na muda mfupi wakuji andaa unahitaji mitindo rahisi pia mtindo utakao mchagulia mtoto wako utategemea na tukio husika kwasababu mtindo wa shuleni ama safarini unaweza ukatofautiana na ule wa kwenye sherehe au shughuli nyingine ya kijamii.

Pia kumbuka mitindo ya kusuka nywele asilia ni bora na nimizuri kwa afya yako ya mwili na kwataswira yako kama mwafrika.

No comments:

Post a Comment